As an intern on OBVs MP Shadowing Scheme, on Wednesday I visited No. 10 Downing Street, home of Prime Minister David Cameron. Was it how I imagined? To be honest, I have never imagined much further than the big black door with the No.10 on it. My mind has the habit of running away with itself and I usually have to reign it in but for this, I was quite comfortable not knowing what to expect.
Inside it was very grand, decor just as Margaret Thatcher had left it, gold, chandeliers, silverware and oil paintings, carpets so soft your heels just sink in. The building itself is made up of 3 houses joined together. Inside the rooms open up into each other, making large rooms larger and, we were told, echoing the desire of this government to "be the most open and transparent" in the world.
As I continue on my journey, seeking to learn if I have or even want a place in the world of politics, I think the picture that will remain with me from this visit, is still the big black door... because to me what it represents allows my imagination to go beyond all that I saw as I walked around the Prime Minister's office and residence. It allows me to envision how things could be in the future. The walls that would whisper remained silent still, and we could only hear muffled voices, conversations concealed... but that door speaks so loud. ia imprints such powerful images in our minds, with so many pivotal moments captureMedia imprints such powerful images in our minds, with so many pivotal moments captured on that famous doorstep, and so many more such moments to come.d on that famous doorstep, and so many more such moments to come.
Tuesday, 7 December 2010
Thursday, 18 November 2010
Wednesday, 17 November 2010
DIAMOND AT AMBASSADOR
Salam,
Utawala na wafanyakazi wa URBAN PULSE wakishirikiana na Tanzania Community Europe wana penda kuwatangazia washabiki wte wa Diamond UK na watu wote wanao support kampeni ya vita na Malaria ya kuwa kunabadiliko ya lazima yaloyotokea kuhusu show ya Diamond ya tarehe 27 November Birmingham. Kwamba kutokana na idadi kubwa ya watu wanaotegemea kujitokeza siku hiyo imebidi ukumbi ubadilishwe ili uweze kukidhi idadi yao,Kwa hiyo jambo hili limepelekea ulazimu wa kubadilisha kumbi kwenda
27 November 2010
116 GAR GOSFORD STREET
PALMS BAR
COVENTRY
CV1 5 EA
Pia Show Nyingine itakuwa 26th November 2010
CLUB AMBASSADOR
20 LONDON ROAD
BARKING, 1G11 8AJ
Mabadiliko haya ni ya lazima na tunaomba radhi kwa ufumbufu wowote utakojitokeza
WOTE MNAKARIBISHWA
Utawala
URBAN PULSE
Wednesday, 10 November 2010
Gap widens in current account: BoT!
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. The current account deficit widened by 22.3 per cent to $2.7 billion in the year ending August 2010.That happened because official current transfers declined, the Bank of Tanzania’s economic review for September noted.
However, the value of exports increased by 23.8 per cent to $5.4 billion in August 2010 compared with the amount recorded in the corresponding period last year.
Dar es Salaam. The current account deficit widened by 22.3 per cent to $2.7 billion in the year ending August 2010.That happened because official current transfers declined, the Bank of Tanzania’s economic review for September noted.
However, the value of exports increased by 23.8 per cent to $5.4 billion in August 2010 compared with the amount recorded in the corresponding period last year.
The improvement was largely due to an increase in exports of gold, travel and manufactured goods.
“The value of export of goods rose to $3.4 billion in the year ending August 2010, compared with $2.53 billion recorded in the corresponding period last year, largely due to a significant increase in gold exports,” the report noted.
But the value of traditional exports declined by 2.6 per cent to $473.9 million compared with the value posted in the corresponding period last year.
“The value of export of goods rose to $3.4 billion in the year ending August 2010, compared with $2.53 billion recorded in the corresponding period last year, largely due to a significant increase in gold exports,” the report noted.
But the value of traditional exports declined by 2.6 per cent to $473.9 million compared with the value posted in the corresponding period last year.
Kwa nini CCM kimeporoka?
PAMOJA na maandalizi kabambe ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ikiwa ni pamoja na kuongeza bajeti ya kampeni hadi kufikia Sh50bilioni, kimepata matokeo mabaya zaidi tangu kuanza kwa uchaguzi unaoshirikisha vyama vingi nchini mwaka 1995. Mbali ya kupoteza majimbo mengi, mgombea wake wa urais, Jakaya Kikwete ameshinda kwa asilimia 61.17 tofauti na mwaka 2005 kilipopata ushindi wa asilimia 80.
Kwa upande wa Vyama vya upinzani vinaonekana kupata mafanikio makubwa kulingana na chama tawala ambacho kimepoteza majimbo kadhaa na kujipunguzia ushindi kilioutarajia.
Kwa upande wa Vyama vya upinzani vinaonekana kupata mafanikio makubwa kulingana na chama tawala ambacho kimepoteza majimbo kadhaa na kujipunguzia ushindi kilioutarajia.
Mwaka 2005 CCM ambayo ilikuwa ikishikilia majimbo 205 kati ya 239 yaliyopo. Lakini sasa imepoteza majimbo 53 mengi yakiwa kwenye Halmashauri za mikoa na majiji bara na Zanzibar.
Viti Maalumu moto, CCM YAVUNA 65, CHADEMA 23, CUF 10
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imeidhinisha majina 88 ya wabunge wateule wa viti maalumu wa vyama vya CCM na Chadema na kutenga viti kumi kwa Chama cha wananchi (CUF) ambacho hakuwasilisha mapendekezo ya wanaowania nafasi hizo.Katika hatua hiyo Nec imeacha nafasi nyingine sita wazi kusubiri chaguzi za ubunge katika majimbo saba ambayo upigaji kura uliahirishwa.
Kwa mujibu wa habari zilizopatikana Jijini Dar es Salaam jana chama cha CUF bado hakijawasilisha orodha ya majina ya wanawake watakaowania viti maalumu, lakini orodha hiyo ya Nec inaonyesha kuwa baadhi ya wabunge waliokuwemo wako hatarini kuachwa huku waliko katika nafasi za kwanza katika vyama vyote wakiwa na matumiani ya kupeta.
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Jaji Lewis Makame aliliambia Mwananchi jana kwamba baada ya kukokotoa uwiano wa viti hivyo maalumu, CCM iliongoza kwa kupata viti 65, ikifuatiwa na Chadema viti 23 wakati CUF kimeambulia viti 10 pekee. Jumla ya viti vyote ni 104.
Katika bunge lililopita ambalo lilikuwa na viti 75 maalumu CCM ilikuwa na viti 58, CUF viti 11 na Chadema viti sita na safari hii vimeongezwa hadi kufikia 104 na mgowanyo wake ukiwa kama ulivyoonyeshwa kwa kuingazia uwiano wa wingi wa kura za ubunge.
Akizungumzia namna Nec ilivyokokotoa mgawanyo wa viti hivyo na kupata uwiano kwa kila chama, Jaji Makame alisema kisheria walivigawanya kutokana na wastani wa kura za wabunge. Kura hizo ni zile ambazo kila chama kilizipata kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika nchini kote Oktoba 31.
Kwa mujibu wa Makame, tayari Nec imeishawaandikia CUF barua mbili kwa nyakati tofauti kuitaka ipeleke orodha hiyo bila mafanikio.
“Tumeshawaandikia barua mbili kuwakumbusha juu ya hatua hiyo ya kwanza Agosti na ya pili Novemba mwaka huu lakini hawakutujibu,” alibainisha Jaji Makame akisema viti hivyo vitabakia wazi hadi CUF itakapowasilisha orodha hiyo.
Kuhusu viti sita vilivyoachwa wazi, Makame alisema vinasubiri matokeo ya majimbo saba ambayo uchaguzi wake haujafanyika.
Majimbo ambayo uchaguzi wake uliahirishwa ni Mpanda Mjini, Mpanda Vijijini na Nkenge, yote ya Tanzania Bara na mengine manne ya Tanzania visiwani ambayo ni Mwanakwerekwe, Mtoni, Magogoni na Wete.
Alisema vyama vingine vilivyoshiriki uchaguzi huo, havikupata wabunge hao wa viti maalum kutokana na kushindwa kufikisha asilimia tano ya kura za urais.
“Sheria inasema, ili chama kipate wabunge wa viti maalum, kinatakiwa angalau kipate asilimia tano ya kura za urais hali ambayo vyama vingine havikutimiza,” alisema Makame.
Taarifa zilizopatikana jijini Dar es Salaam zilieleza kwamba Nec itatangaza majina ya wabunge wateule wa viti maalumu kwa vyama vya CCM na Chadema leo.
Hata hivyo, Mwananchi lilifanikiwa kupata orodha za majina zinazodaiwa kuwasilishwa Nec na vyama hivyo.
Orodha hizo zinadawa kupangwa kulingana na uzito wa nafasi ya kuteuliwa.
Kutokana na Nec kuitengea CCM nafasi 65, majina ya wanawake ambao wana nafasi kubwa kuwa kwenye orodha ya uteuzi ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Sophia Simba, Gaudentia Kabaka, Ummi Mwalimu, Agness Hokororo, Martha Umbulla, Lucy Mayenga, Faida Mohamed Bakari, Felista Bura, Kidawa Hamid Saleh na Stella Manyanya.
Wengine ni Maria Hewa, Hilda Ngoye, Josephine Genzabuke, Esther Midimu, Maida Hamad Abdalla, Asha Mshimba Jecha, Zarina Madabida, Namalok Sokoine, Munde Abdallah na Benardetha Mushashu.
Pia wamo Vick Kamata, Pindi Chana, Fatuma Mikidadi, Getrude Rwakatare, Betty Machangu, Diana Chilolo, Fakharia Shomari Khamis, Zaynabu Vulu, Abia Nyabakari na Pudenciana Kikwembe.
Lediana Mng’ong’o, Sarah Msafiri Ally, Catherine Magige, Tauhida Galos Cassian, Asha Mohamed Omari, Rita Mlaki, Anna Abdallah, Fenella Mukangara, Terezya Huvisa na Al-Shaymaa Kwegir.
Margreth Mkanga, Angellah Kairuki, Zainab Kawawa, Mwanakhamis Said, Riziki Lulida, Devotha Likokola, Christina Ishengoma, Mariam Mfaki, Margreth Sitta na Subira Mgalu.
Rita Kabati, Martha Mlata, Dk Maua Daftari, Elizabeth Batenga, Azza Hamad, Mary Mwanjelwa, Josephine Chengula, Bahati Abeid, Kiumbwa Mbaraka na Roweete Kasikila.
Anastazia Wambura, Mary Chatanda, Rosemary Kirigini,
Mariam Kisangi na Kemilembe Lwota.
Walioko katika hati hati ya kutokuwapo kwenye orodha hiyo ni Tinner Chenge, Mwandishi wa habari, Kaslida Mgeni, Mboni Mhita na Janet Masaburi.
Kwa upande wa Chadema, 23 wenye nafasi kubwa ya kuwepo ni Lucy Owenya, Ester Matiko, Mhonga Ruhwanya, Anna Mallac, Paulina Gekuli na Conchesta Rwamlaza.
Wengine ni Suzan Kiwanga, Suzan Lyimo, Grace Kiwelu, Regia Mtema, Christowaja Mkinda, Anna Komu, Mwanamrisho Abama, Joyce Mukya, Leticia Nyerere na Chiku Abwao.
Pia wamo Naomi Kaihula, Grace Kiwelu, Rose Kamili, Christina Lissu Mughiwa, Raya Ibrahim, Philipa Mturano, Miriam Msabaha, Rachel Mashishanga.
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Jaji Lewis Makame aliliambia Mwananchi jana kwamba baada ya kukokotoa uwiano wa viti hivyo maalumu, CCM iliongoza kwa kupata viti 65, ikifuatiwa na Chadema viti 23 wakati CUF kimeambulia viti 10 pekee. Jumla ya viti vyote ni 104.
Katika bunge lililopita ambalo lilikuwa na viti 75 maalumu CCM ilikuwa na viti 58, CUF viti 11 na Chadema viti sita na safari hii vimeongezwa hadi kufikia 104 na mgowanyo wake ukiwa kama ulivyoonyeshwa kwa kuingazia uwiano wa wingi wa kura za ubunge.
Akizungumzia namna Nec ilivyokokotoa mgawanyo wa viti hivyo na kupata uwiano kwa kila chama, Jaji Makame alisema kisheria walivigawanya kutokana na wastani wa kura za wabunge. Kura hizo ni zile ambazo kila chama kilizipata kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika nchini kote Oktoba 31.
Kwa mujibu wa Makame, tayari Nec imeishawaandikia CUF barua mbili kwa nyakati tofauti kuitaka ipeleke orodha hiyo bila mafanikio.
“Tumeshawaandikia barua mbili kuwakumbusha juu ya hatua hiyo ya kwanza Agosti na ya pili Novemba mwaka huu lakini hawakutujibu,” alibainisha Jaji Makame akisema viti hivyo vitabakia wazi hadi CUF itakapowasilisha orodha hiyo.
Kuhusu viti sita vilivyoachwa wazi, Makame alisema vinasubiri matokeo ya majimbo saba ambayo uchaguzi wake haujafanyika.
Majimbo ambayo uchaguzi wake uliahirishwa ni Mpanda Mjini, Mpanda Vijijini na Nkenge, yote ya Tanzania Bara na mengine manne ya Tanzania visiwani ambayo ni Mwanakwerekwe, Mtoni, Magogoni na Wete.
Alisema vyama vingine vilivyoshiriki uchaguzi huo, havikupata wabunge hao wa viti maalum kutokana na kushindwa kufikisha asilimia tano ya kura za urais.
“Sheria inasema, ili chama kipate wabunge wa viti maalum, kinatakiwa angalau kipate asilimia tano ya kura za urais hali ambayo vyama vingine havikutimiza,” alisema Makame.
Taarifa zilizopatikana jijini Dar es Salaam zilieleza kwamba Nec itatangaza majina ya wabunge wateule wa viti maalumu kwa vyama vya CCM na Chadema leo.
Hata hivyo, Mwananchi lilifanikiwa kupata orodha za majina zinazodaiwa kuwasilishwa Nec na vyama hivyo.
Orodha hizo zinadawa kupangwa kulingana na uzito wa nafasi ya kuteuliwa.
Kutokana na Nec kuitengea CCM nafasi 65, majina ya wanawake ambao wana nafasi kubwa kuwa kwenye orodha ya uteuzi ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Sophia Simba, Gaudentia Kabaka, Ummi Mwalimu, Agness Hokororo, Martha Umbulla, Lucy Mayenga, Faida Mohamed Bakari, Felista Bura, Kidawa Hamid Saleh na Stella Manyanya.
Wengine ni Maria Hewa, Hilda Ngoye, Josephine Genzabuke, Esther Midimu, Maida Hamad Abdalla, Asha Mshimba Jecha, Zarina Madabida, Namalok Sokoine, Munde Abdallah na Benardetha Mushashu.
Pia wamo Vick Kamata, Pindi Chana, Fatuma Mikidadi, Getrude Rwakatare, Betty Machangu, Diana Chilolo, Fakharia Shomari Khamis, Zaynabu Vulu, Abia Nyabakari na Pudenciana Kikwembe.
Lediana Mng’ong’o, Sarah Msafiri Ally, Catherine Magige, Tauhida Galos Cassian, Asha Mohamed Omari, Rita Mlaki, Anna Abdallah, Fenella Mukangara, Terezya Huvisa na Al-Shaymaa Kwegir.
Margreth Mkanga, Angellah Kairuki, Zainab Kawawa, Mwanakhamis Said, Riziki Lulida, Devotha Likokola, Christina Ishengoma, Mariam Mfaki, Margreth Sitta na Subira Mgalu.
Rita Kabati, Martha Mlata, Dk Maua Daftari, Elizabeth Batenga, Azza Hamad, Mary Mwanjelwa, Josephine Chengula, Bahati Abeid, Kiumbwa Mbaraka na Roweete Kasikila.
Anastazia Wambura, Mary Chatanda, Rosemary Kirigini,
Mariam Kisangi na Kemilembe Lwota.
Walioko katika hati hati ya kutokuwapo kwenye orodha hiyo ni Tinner Chenge, Mwandishi wa habari, Kaslida Mgeni, Mboni Mhita na Janet Masaburi.
Kwa upande wa Chadema, 23 wenye nafasi kubwa ya kuwepo ni Lucy Owenya, Ester Matiko, Mhonga Ruhwanya, Anna Mallac, Paulina Gekuli na Conchesta Rwamlaza.
Wengine ni Suzan Kiwanga, Suzan Lyimo, Grace Kiwelu, Regia Mtema, Christowaja Mkinda, Anna Komu, Mwanamrisho Abama, Joyce Mukya, Leticia Nyerere na Chiku Abwao.
Pia wamo Naomi Kaihula, Grace Kiwelu, Rose Kamili, Christina Lissu Mughiwa, Raya Ibrahim, Philipa Mturano, Miriam Msabaha, Rachel Mashishanga.
Dk Shein awateua Maalim Seif, Seif Idd
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohammed Shein amemteua Maalim Seif Shariff Hamad kuwa Makamu wa Kwanza wa rais na Seif Iddi kuwa Makamu wa Pili.
Tuesday, 9 November 2010
What Next For Dr. Slaa!
As President Elect Jakaya M Kikwete has now completed formalities and is now president for another term, the only question now that is remaining relating to the just ended elections is what next for Dr. Slaa who came closest to Dr. Kikwete but was yet not close enough to pose a serious threat to the incumbent's Presidential prospects. Though Dr. Slaa's party made significant gains in the gaining many more Parliament seats than any other opposition party have been able to achieve in the past.
In the Isles the Runner up in the Presidentia race has been given the position of first Vice President, however it will be interesting to see how events will pan out on the mainland, especially after Dr. Slaa's very conspicuous absence from the annoucements of the Presidential election results.
In the Isles the Runner up in the Presidentia race has been given the position of first Vice President, however it will be interesting to see how events will pan out on the mainland, especially after Dr. Slaa's very conspicuous absence from the annoucements of the Presidential election results.
Chenge gets clean bill on radar scam
The Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) said yesterday that it has failed to establish the involvement of former Attorney General Andrew Chenge in the corrutuion allegations around the controversial purchase of a military radar.
Defending Our Unity
President Jakaya Kikwete yesterday morning took the oath of office for his second and final five-year term, with an impassioned appeal to fellow Tanzanians to forget their political differences and forge national unity to foster economic prosperity.
Shein nominates eight to House of Representatives
Zanzibar President Dr Ali Mohamed Shein presents working tools to the newly-appointed Attorney General, Judge Omar Othman Makungu (right), after the swearing-in ceremony at the State House in Zanzibar yesterday.
H.E. High Commissioner Peter Kallaghe presenting his credentials to the Queen
H.E. High Commissioner Peter Kallaghe presenting his credentials to her Majesty the Queen last week at Buckingham Palace.
Subscribe to:
Posts (Atom)