Wednesday, 10 November 2010

Dk Shein awateua Maalim Seif, Seif Idd

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohammed Shein amemteua Maalim Seif Shariff Hamad kuwa Makamu wa Kwanza wa rais na Seif Iddi kuwa Makamu wa Pili.

No comments:

Post a Comment